Social Icons


BEFORE AND AFTER YA MDAU WA UZ

Pongezi nyingi Zikufikie mdau wangu kwa kuthubutu jambo la msingi kama hili.Kifupi ni kuwa mdau alikuwa na kiwanja tu bila nyumba..Sikumoja aliona post inayohamasisha wanawake wajenge na wapunguze kuconcetrate na mapambo yenye gharama sawa na vifaa vya ujenzi mfano handbag laki na nusu ni tofali 150,lesswigg laki tatu ni mifuko ya cement 20,simu kali za smartphone n.k Alifanya maamuzi tangu sikuhiyo kuanza ujenzi kwa kidogo alichonacho na mpaka sasa ametumia miezi 11 kufikia hapo japo hapo katikati alikuwa anasimama kidogo.
Mdau ameishukuru group ya Ujenzi zone facebook kumuhamasisha kuanza ujenzi na pia amemshukuru aliyepost kuhusu wanawake na ujenzi.HONGERA NYINGI KWAKO MDAU NA TUNATEGEMEA SOON KUPOKEA PICHA ZA FINISHING.

No comments :