Social Icons


BALCON DESIGNS (BEFORE AND AFTER)

Imekuwa kawaida nyumba zetu kuwa na baraza mbili ya mbele na ya nyuma.Maranying hii ya mbele ndio hubeba sura ya nyumba zetu.Hivyo inapendeza tukiipa muonekano mzuri,wengine hupendelea kuweka uzio wa maua ya zege,wengine huweka uzio wa maua ya chuma,na wengine hupendelea aluminium pipes kana zinavyoonekana pichani..(Asante madam admn.kushea nasi balcon ya nyumba yako before and after..)
Kuna aina ya viti vizuri maalumu kwajili ya barazani.wengine huweka vya plastic matirio,wengine huweka vya mbao,halikadhalika kuna matirio ya aina tofauti jamii ya mianzi ambayo hupendeza na kuvutia iwekwapo barazani.
Muhimu ni kuzijali baraza zetu kwa kuzipa nafasi ya kutosha, kwa taa nzuri,rangi nzuri,pia tiles nzuri na kuzijali muda wote kwani ndio ilipo sura ya nyumba zetu.Muda mwingine baraza hutumika sawa na zilivyo sebule kwa nyakati tofauti.(0786 808707 kwa kazi za metal balcon)

No comments :