Social Icons


TV WALL NDIO HABARI YA MUJINI

Karibu katika blog yetu ya kitanzania upate mawazo maridadi toka kwa wazoefu wa masuala ya ujenzi na nyumba.
Leo Ujenzi zone itashea nanyi uzoefu jinsi ya kuandaa ukuta mmoja sebuleni kwako kwa maandalizi ya kuweka tv.Maandalizi haya ni moja ya unadhifu kwa nyumba zetu.wengine hujengea nguzo na kuzidecorate wakati ujenzi unaendelea,wengine hupainua mfano wa stage ndogo na wengine huandaa  wakati wa finishing hatua zile  za mwisho baada ya rangi.
Ipambe tv wall yako kwa wall paper,tiles au tanga stone ili kuleta utofauti na kuta zingine katika sebule yako. Hakikisha unaweka socket za umeme na bomba za kupitisha nyaya za antena kabla hujaanza kuremba wall yako kwa mawe,tiles nk.hii itasaidia kuifanya wall yako smart kwani haitakuwa na nyaya zinazoning'inia(maelezo na picha kwa hisani ya mdau wangu wa ujenzi zone Mr.Abeid Gallus Abeid. Karibu sana mdau wowote kushea uzoefu nasi kwa watsapp 0717 060776)

No comments :