Social Icons


SALAMU ZA UPENDO KWA WADAU WOTE WA UZ BLOG

Administrator wa blog ninayo furaha kuwakaribisha wote wenye maswali,maoni,na wenye kutaka kushea nasi chochote kuhusucho ujenzi zone blog..tuwasliane kwa watsapp namba 0717060776 na 0786808707.
Kutokana na sababu za kiufundi admn amekuwa anashindwa kujibu maswali yenu kwenye chatroll ila hivi karibuni tutakuwa pamoja.
Admin anajihusisha na kazi za grill  kuanzia madirisha,mageti,na fenicha zote za chuma. Tangazo letu linazo namba za admin hivyo utanipata moja kwa moja.KARIBUNI NA ASANTENI KWA USHIRIKI MZURI,KARIBU FACEBOOK UJENZI ZONE GROUP INAKUWA NA MADA ZA UELEWA KILA SIKU KUHUSU UJENZI

No comments :